Popular Posts

Friday, 14 August 2015

amaxc blog: ze mafurikozzzz ya chadema leo mida flan hv huko mbeya!!! n zaid ya sikuzoteeeee!!! kwasababu..

Ratiba iliyotolewa na CHADEMA kuhusu safari ya Mgombea Urais wa Chama hicho, Edward Ngoyai Lowassa kutafuta wadhamini Mikoani ilionesha August 14 2015 ataanzia Mbeya, August 15 ni Arusha, August 16 ni Mwanza na atamalizia Zanzibar August 17 2015. Tayari Mgombea huyo wa Urais katua Mbeya na hapa ninazo pichaz ambazo nimesogezewa na watu wangu walioko Mbeya kuonesha hali ilivyokuwa.
huu n umati wa wanachama wa chadema!!! walio hudhuria kweny le mafurikoZZZZ!!!
**Hawa n vijana wa red brigade!!! wanao husika na full maulinzzzzz!!!
***hili n moja kati ya magari yaliyo kuwepo kweny mafurikozzzz
*** hiz n pilika pilika wakat ze mtarajiwa raisi alipo tia timu!!!
*** hawa n wanachama wa chadema kwa moyo mmoja!! na hilo bango lao linasomeka hv " mafuriko haya zuiliki kwa mkono"...
**mh lowassa akiwa mbele ya umati wa mafurikozzzz!!!
**-wakat huoo ulinz si wakuuliza!!!
nahiv n moja kat ya vituko vya haooo wana chadema hukooo mbeya yan wametsha ile noumaaaaaa!!!

No comments:

Post a Comment